Taarifa njema kwa wanufaika wa mikopo IFM

TAARIFA NJEMA KWA WANUFAIKA WA MIKOPO

Serikali ya wanafunzi chini ya wizara ya mikopo, inapenda kutoa taarifa rasmi kwa wanufaika wa mikopo waliosaini mpaka tarehe 25 mwezi wa 11, malipo yao ya meals and accomodation yamekamilika tarehe 1/12/2016 kama ifuatavyo:

S/N
BANK
NO. OF STUDENTS
1
CRDB
1350
2
NMB
58
3
NBC
3
4
TPB
1
5
EQUITY
1
6
ACB
1
7
ACCESS
1
8
EXIM
1

GRAND TOTAL
1416

Tunawahimiza wanufaika wote wenye allocation na hawajasaini, wasaini fedha hizo haraka ili kufanikisha zoezi la malipo kwa waliobaki
Share on Google Plus

About UPStream Telecom

0 comments:

Post a Comment