Kwa walio na mahitaji ya vyumba au hostel, IFM-SO ina ufumbuzi wa hitajio lako

               .

MAHITAJI YA HOSTEL AU VYUMBA NJE YA CHUO

Ndg, Wanafunzi wa chuo cha usimamizi fedha. Poleni Na maandalzi ya Mitihani ya mwisho wa semester.

1. Wizara ya mambo ya nje , inapenda kuwatarifu wanafunzi ambao watahitaji kutafutiwa chumba au hostel kwa kipindi cha likizo fupi kuanzia tarehe 24 /02/2017 mpaka 13/03/2017. 

Kwa ambao watahitaji

Mnatakiwa kuja kuandika majina yenu na taarifa zingine muhimu kwenye fomu za OCM zilizopo IFMSO -312. Mpaka sasa OCM imehudumia zaidi ya wanafunzi 450 na huduma hii ni  bureee.

2. Wizara ya mambo ya nje inapenda kuwashukuru wawakilishi wa madarasa na wanafunzi wote  walioandikisha majina yao kwenye off campus students form. ( lengo kuu la kuandikisha  majina hayo ilikuwa ni  kupata idadi kamili ya wanafunzi ambayo ingepelekea wizara kufika mamlaka husika na kuomba baadhi ya majengo posta  tuyatumie kama hostel).

Lakin idadi kamili ya  off campus students iliyopo kwa waziri wa mambo ya nje mpaka sasa ni wanafunzi 1679 kwa stream 25 Kigamboni ikiwa na off campus students zaidi ya 1283.

3. Wizara ya mambo ya nje inawaomba wanafunzi wa IFM wakazi wa Kigamboni (ferry, tuamoyo, Tungi, muungano na Magogoni) tuliowaombea ruhusa ya kwenda kusomea MNMA, wawe watulivu na waskivu kwa walinzi wa chuo cha mwalimu nyerere .kwa sababu taarifa tunazopatiwa hazifurahishi. Nenda na kitambulisho chako cha chuo na tafadhali, fuata utaratibu utakao ukuta.

4. Mwisho wizara ya mambo ya nje.inawaomba wanafunzi  kutumia product yetu ya IFM- SO. Kama wizara tunamiliki application ambayo imerahisisha mambo na kuweka huduma ya utaftaji wa vyumba na hostel wa kidigitali zaidi, inakurahisishia kupata vyumba au hostel kupitia simu yako ya kiganjani. Install dalaliAppTz kutoka google play store. Kisha log in kama client, Utaona Nyumba na hostel ambazo ziko uploaded. Room Na hostel zinapatikana.


IFMSO 2016/2017 
Wizara ya mambo ya nje 

Serikali ya wanafunzi IFM-SO inawatakia maandalizi mema ya mitihani ya mwisho. Mungu awe nanyi kwenye maandalizi yenu, awafanyie wepesi mitihani yenu na kwa pamoja tufaulu kwa alama nzuri.
Share on Google Plus

About UPStream Telecom

3 comments:

  1. Naulizia hostel za nje jiran na IFM

    ReplyDelete
    Replies
    1. Naomba kujua kama umepata Hostel ama laa. Na tunaomba sana radhi kwa kuchelewa kujibu comment yako.

      Delete