TAARIFA KWA WANUFAIKA WA MIKOPO IFM
Serikali ya wanafunzi IFM-SO baada ya ufuatiliaji wa karib inafahamisha wanafunzi wote wa IFM wanaonufaika na mkopo, kuwa kutakuwa na zoezi na kusaini malipo kwaajili ya fedha za awamu ya pili "Field Practical Training Allowance" kuanzia tarehe 14/09/2016 saa tatu asubuhi mpaka saa kumi kamili jioni.
Eneo la kusaini ni mbele ya Block A, Th A na B.
Usisahau kuja na kitambulisho cha muhula wa pili ni muhimu.
KUHUSU WANAFUNZI WALIOKO MIKOANI
Kuhusu watu walioko mikoani fedha zao zinategemewa mpaka tarehe 16/09/2016 kuwa zishaingia kwenye akaunti zao.
0 comments:
Post a Comment