TAARIFA KWA WANUFAIKA WA MIKOPO IFM

Serikali ya wanafunzi IFM-SO inafahamisha wanafunzi wote wa IFM wanaonufaika na mkopo, kuwa kutakuwa na zoezi na kusaini malipo kwaajili ya fedha za awamu ya pili "Field Practical Training Allowance" kuanzia tarehe 14/09/2016 saa tatu asubuhi mpaka saa kumi kamili jioni.

Eneo la kusaini ni mbele ya Block A, Th A na B.

Usisahau kuja na kitambulisho cha muhula wa pili ni muhimu.
Share on Google Plus

About UPStream Telecom

0 comments:

Post a Comment