Mwanafunzi wa IFM apata ajali na kufanyiwa upasuaji wa kichwa


TANGAZO

  • Mwanafunzi mwenzetu wa IFM Aileen Macha wa BAC 1C amepata ajali ya pikipiki jana mchana (24/08/2016) alipokuwa njiani kuelekea chuo. Mgonjwa alipelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na amefanyiwa upasuaji wa kichwa leo asubuhi (25/08/2016) na bado yupo ICU mpaka wakati huu.


  • Serikali ya wanafunzi ya IFM-SO inatoa pole za dhati kwa familia na watu wa karibu wa mgonjwa.

Kwa yeyote atakayeguswa juu ya mwanafunzi mwenzetu, anaweza kumsaidia kwa kutuma mchango wake kupitia nambari zifuatazo:

TIGO PESA:         0712 969 194       -              ASHRAFU HIJA
M-PESA:              0767 416 996       -              FATMA ABDUL AZIZ

  • Kuhusu utaratibu wa kwenda kumuona mgonjwa, tutatoa taarifa baada ya kutolewa ICU, hivyo tunashauri kutembelea Blog yetu hii mara kwa mara kujua maendeleo na yanayojiri.       


Share on Google Plus

About UPStream Telecom

0 comments:

Post a Comment